Labels

Tuesday 31 January 2017

Dont use mobile phone while charging(usitumie simu ikiwa kwenye chaji)


Barack Obama avunja ukimya





Ofisi ya rais wa zamani wa Marekani Barack Obama imetoa tamko na kusema kwamba raisi huyo wa zamani anakerwa na maandamano yanayoendelea nchini humo kupinga tamko la raisi Donald Trump kutaka kuweka vizuizi vya uhamiaji juu ya wasafiri kutoka kwa baadhi ya nchi za Kiislamu.

Msemaji wa rais Barack Obama, Kevin Lewis, amesema kwamba raisi mstaafu kimsingi hakukubaliana na wazo la ubaguzi dhidi ya watu kwa sababu ya dini yao.

Na kuongeza kusema kwamba wananchi wanatumia haki yao ya kikatiba ya kusikilizwa na viongozi waliochaguliwa na ndiyo matarajio yao pindi Marekani inaingia hatarini .