Labels

Monday 9 October 2017

JINSI YA KUTENGENEZA MANGO PIKO.

MANGO PICLES.










   
  • Mango picles ni (achari) au (appetizer) nzuri kwa asali ya chakula.
  • Malighafi kubwa zaidi ni embe bichi.

 MATAYARISHO.
  • Maembe ya safishwe vizuri kwa kuosha vizuri kwakutumia maji safi na maembe ya oshwe kabla hayaja menywa. 
  • Embe likatwe katwe vipande bila kugusa kokwa,Vipande ivyo viwekwe kwenye kichanja baada ya kukatwa na vianikwe juani kwa muda wa nusu saa.
  • Hifadhi embezako hizo kwenye chombo kisafi waweza acha humo kwa muda wa siku 5.
  • Kwamfano embe ulilonalo ni moja tayari viungo kama nyanya vitunguu,mafuta ya kupikia,chumvi.
KUTENGENEZA.
  • Tayarisha nyanya 1/2Kg,menya maganda na kukatakata vipande vidogo.
  • Katakata vitunguu vikubwa vi 2.
  • Chumvi vijiko viwili vya chai.
  • Kijiko kimoja cha chai kwaajili ya kuifanya mango piko yako isiharibike.
  • Maji ya limau vijiko 2 vya chai.
  • Tengeneza posti ya mchanganyiko huo.Baada ya kutayarisha(rosti)hiyo,chukua vipande vyako vya embe na kuchanganya na rosti hio.
  • Kwa rosti hii embe tumia moja lenye ujazo wa 1/4kg.
  • Weka kwenye chombo na ufunge mfuniko vizur acha kwa 3-4 siku.
  • kisha enjoy mango piko yako.

No comments:

Post a Comment