Labels

Tuesday 25 October 2016



Mashindano ya urembo ya albino kufanyika Kenya


Akina dada walioshiriki katika mashindano ya urembo kwa watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi ama Albinos jijini Nairobi, Kenya. Tarehe 21 Oktoba 2016.Mfalme! Jairus Ongetta, ambaye amekabidhiwa tuzo ya uanamitindo bora kwa wanaume akiwa jukwaani na mavazi ya kupendeza. Amekuwa mwanamke wa kwanza kushinda taji hilo, katika mashindano yaliyofanyika jijini Nairobi, Kenya tarehe 21 Oktoba 2016


  • Oktoba 2016
Kuwa mlemavu wa ngozi au albino barani Afrika mara nyingi imekuwa ikihusishwa na imani potofu ikiwemo ya ushirikina na kufanya albino wengi kukabiliwa na unyanyapaa na kutengwa na jamii zao.
Kwa sasa vijana wa jamii ya albino huko nchini Kenya wamejikusanya wakijiandaa na onyesho la Miss na Mr Albino litakalofanyika hii Ijumaa.
Onyesho hilo lina lengo la kuwatia moyo watu wenye ulemavu wa ngozi na pia kubadili mtazamo wa jamii kuwa albino ni watu kama wengine.
Dayo Yusuf alitembelea kambi ya wana mitindo hao wakati walipokuwa katika maandalizi ya mwisho mwisho kuelekea kwenye onyesho hilo na kutuandalia taarifa hii ifuatayo .








No comments:

Post a Comment