Labels

Tuesday 25 October 2016

Sababu ilio mfanya Jastin biber atupe mike na kushuka stejini alipokua aki akifanya shoo.

Staa wa muziki wa RnB na Pop mwenye asili ya CanadaJustin Bieber amezikamata headlines baada ya kutupa mic chini akiwa anaperfom kwenye stage za show ya Manchester usiku wa Oct 23 2016na kuondoka jukwaani hapo.
Imetajwa na kituo kikubwa cha habari cha Enewscha Marekani kuwa mashabiki kwenye show hiyo walikuwa wakipiga kelele za shangwe kupita kiasi na kumkera staa huyo ambapo alidai kuwa anataka aongee nao badala yake zinasikika kelele ndipo akamua kuchukua uwamuzi huo.
Enews waliongezea kuwa Justin alishawaonya mara ya kwanza mashabiki wasipige kelele wakati anaongea nao lakini hawakusikia na haya ndiyo yalikuwa maneno ya Justin…..

>>>’Nashukuru sana kwa upendo wenu mnao uonyesha kwangu, hizi kelele tafadhali naomba ziachwe ninashukuru tena lakini sidhani kama ni lazima kwenu kushangilia wakati naongea kwasababu najisikia kama nataka kuunganishwa na ninyi’  –Justin Bieber 

No comments:

Post a Comment