Labels

Tuesday 25 April 2017

WATAALAM WA SAYANSI WA GUNDUA KUPOTEA KWA VIUMBE WA ANGA ZA JUU.

Kiumbe wa anga za juu
Wataalamu wa masuala ya sayansi wanaotafuta maisha katika anga za juu watahitajika kusubiri zaidi
Mradi huo wa gharama ya dola milioni 100 wa kutafuta dalili za viumbe wa anga za juu bado haujapata chochote mwaka mmoja baada ya kuzinduliwa.
Shughuli hiyo inafanywa kwa kutumia darubini kubwa ambayo inasikiza dalili yoyote ya kuwepo viumbe vya angani.
Wanasayansi walitoa visa 11 ambavyo vilitarajiwa kuonyesha dalili za maisha angani lakini tena wakaamua kuwa vilitoka kwa binadamu.
Prof Stephen Hawking anasema kuwa huenda kuna maisha katika anga za juu

Mradi huo ni wa miaka kumi unaoungwa mkono na watu kama Prof Stephen Hawking.

No comments:

Post a Comment